Simba hao wa Tereranga Ambao ndio Wanabeba Matumaini ya Afrika walikuwa wa Kwanza Kuandika Bado Dakika ya 44 kupitia kwa Ismail Sarr kwa njia ya Mkwaju wa Penality kabla ya Wapinzani wao Ecuador Kujitutumua na Kusawazisha Goli Hilo Dakika ya 68 kupitia kwa Moses Caicedo.
Bao Hilo Hata Hivyo Halikudumu Baada ya Kalidou Koulibaly Kupigilia Msumari wa Pili Dakika Mbili Baadaye ya Dakika ya 70.
NB: VIPI CHAMA LAKO? AU HAYATUHUSU.
Cc @irundetz
#irundereports
Post a Comment