Akizungumza katika Mahafali ya 20 ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania ambayo yamefanyika katika Kampasi ya Singida Serukamba Amewataharisha Wahitimu Hao Kuwa Ikiwa Wataacha Kusoma Vitabu Watopoteza Ujuzi Walioupata.
Aidha Amewakumbusha Wahitimu Hao Kuyalinda Mafanikio Walioyapata na Kuboresha Mapungufu yaliyojitokeza katika Mafunzo yao ili Kujenga Ushindani Katika Soko la Ajira.
Cc @irundetz
#irundereports
Post a Comment